Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Sasa alikuwa amewakasirikia* watu wa Tiro na Sidoni. Basi wakaja kwake wakiwa na kusudi moja, na baada ya kumshawishi Blasto, mwanamume aliyesimamia nyumba ya mfalme,* wakatoa ombi la amani, kwa sababu nchi yao ilipata chakula kutoka kwa nchi ya mfalme.

  • Matendo 12:20
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 20 Sasa alikuwa katika hali ya kutaka kupigana dhidi ya watu wa Tiro na wa Sidoni. Kwa hiyo wakamjia kwa umoja na, baada ya kumshawishi Blasto, aliyekuwa mwenye kusimamia chumba cha kulala cha mfalme, wakaanza kutoa ombi la kutaka amani, kwa sababu nchi yao iligawiwa chakula kutokana na kile cha mfalme.

  • Matendo
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 12:20

      Mnara wa Mlinzi,

      6/1/1990, uku. 20

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki