-
Matendo 17:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Lakini watu fulani wa Waepikurea na wanafalsafa Wastoa pia wakawa wanaongea naye kwa mabishano, na baadhi yao walikuwa wakisema: “Ni nini ambalo mpiga-domo huyu angependa kusimulia?” Wengine: “Aonekana kuwa mtangazaji wa miungu migeni.” Hiyo ilikuwa kwa sababu alikuwa akitangaza habari njema ya Yesu na ufufuo.
-