-
Matendo 21:26Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
26 Ndipo Paulo akawachukua hao wanaume pamoja naye siku iliyofuata akajisafisha mwenyewe kisherehe pamoja nao na kuingia ndani ya hekalu, kutoa taarifa juu ya siku ambazo zingetimizwa kwa huo utakaso wa kisherehe, mpaka toleo litolewe kwa ajili ya kila mmoja wao.
-