-
Waroma 2:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Lakini ewe mwanadamu, unadhani utaponyoka hukumu ya Mungu unapowahukumu wale wanaozoea kufanya mambo hayo na bado wewe unayafanya?
-
-
Waroma 2:3Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
3 Lakini je, wewe una wazo hili, Ewe mtu, kwamba utaponyoka hukumu ya Mungu wakati uhukumupo wale wazoeao kufanya mambo ya namna hiyo na bado wayafanya?
-