-
2 Wakorintho 11:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Ninasema tena: Mtu yeyote asifikiri kwamba mimi sina akili. Lakini hata mkifikiri hivyo, basi mnikubali kama mtu asiye na akili, ili mimi pia nijisifu kidogo.
-
-
2 Wakorintho 11:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Nasema tena, Acheni mtu yeyote asifikiri mimi nakosa akili. Bado, ikiwa kwa kweli mwafikiri hivyo, nikubalini mimi hata ikiwa ni kama nakosa akili, ili mimi vilevile nipate kujisifu kwa kiasi fulani kidogo.
-