-
2 Wakorintho 11:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Ninasema hili kwa aibu yetu, kwa sababu huenda ikaonekana tumetenda kwa udhaifu.
Lakini ikiwa wengine wanatenda kwa ujasiri—ninazungumza kama mtu asiye na akili—mimi pia ninatenda kwa ujasiri.
-
-
2 Wakorintho 11:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Nasema hili kwa kutuvunjia heshima, kama kwamba cheo chetu kilikuwa dhaifu.
Lakini ikiwa mwingine yeyote atenda kwa ujasiri katika jambo fulani—mimi ninaongea kwa kukosa akili —mimi vilevile ninatenda kwa ujasiri katika hilo.
-