-
2 Wakorintho 12:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Nilimhimiza Tito na nikamtuma ndugu aliyekuwa pamoja naye. Tito hakuwatumia nyinyi kwa kujifaidi hata kidogo, sivyo? Tulitembea katika roho ileile, sivyo? Katika hatua zilezile, sivyo?
-