-
1 Yohana 2:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Mtu anayesema, “Mimi nimemjua,” na bado hashiki amri zake ni mwongo, na kweli haimo ndani ya mtu huyo.
-
-
1 Yohana 2:4Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
4 Yeye ambaye husema: “Mimi nimekuja kumjua,” na bado hashiki amri zake, ni mwongo, na kweli haimo katika mtu huyo.
-