-
Ufunuo 9:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Na hivi ndivyo nilivyowaona wale farasi katika maono na wale walioketi juu yao: Walikuwa na mabamba ya kifuani ya rangi nyekundu ya moto na ya bluu ya hayasinthi na ya manjano ya kiberiti, na vichwa vya wale farasi vilikuwa kama vichwa vya simba,+ na moto na moshi na kiberiti vilitoka katika vinywa vyao.
-
-
Ufunuo 9:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Na hivi ndivyo nilivyoona wale farasi katika ono, na wale waketio juu yao: walikuwa na mabamba ya kifuani mekundu-moto na hayasinthi-bluu na manjano-sulfa; na vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na katika vinywa vyao moto na moshi na sulfa vikatoka.
-