-
Ufunuo 10:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Nao wakaniambia: “Lazima utoe unabii tena kuhusu jamii na mataifa na lugha na wafalme wengi.”
-
-
Ufunuo 10:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Nao waniambia: “Lazima utoe unabii tena kuhusiana na vikundi vya watu na mataifa na lugha na wafalme wengi.”
-