Mwanzo 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha wakaketi ili kula mkate.+ Walipoinua macho yao na kutazama, kumbe, kulikuwa na msafara wa Waishmaeli+ uliokuwa ukija kutoka Gileadi, na ngamia zao walikuwa wamebeba ubani mweusi na zeri na gome lenye utomvu,+ wakiwa njiani kuzipeleka Misri.
25 Kisha wakaketi ili kula mkate.+ Walipoinua macho yao na kutazama, kumbe, kulikuwa na msafara wa Waishmaeli+ uliokuwa ukija kutoka Gileadi, na ngamia zao walikuwa wamebeba ubani mweusi na zeri na gome lenye utomvu,+ wakiwa njiani kuzipeleka Misri.