Mwanzo 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Basi Yosefu akapelekwa Misri,+ na Potifa,+ ofisa wa makao ya Farao, mkuu wa walinzi, Mmisri, akamnunua kutoka kwa Waishmaeli+ waliokuwa wamemleta huko. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:1 Mnara wa Mlinzi,11/1/2014, kur. 12-13
39 Basi Yosefu akapelekwa Misri,+ na Potifa,+ ofisa wa makao ya Farao, mkuu wa walinzi, Mmisri, akamnunua kutoka kwa Waishmaeli+ waliokuwa wamemleta huko.