20 Lakini kuhusu Ishmaeli nimekusikia. Tazama! nitambariki, nimfanye aongezeke na kumzidisha sana sana.+ Hakika atatokeza wakuu kumi na wawili, nami nitamfanya kuwa taifa kubwa.+
25 Kisha wakaketi ili kula mkate.+ Walipoinua macho yao na kutazama, kumbe, kulikuwa na msafara wa Waishmaeli+ uliokuwa ukija kutoka Gileadi, na ngamia zao walikuwa wamebeba ubani mweusi na zeri na gome lenye utomvu,+ wakiwa njiani kuzipeleka Misri.