Mwanzo 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia: “Nitauzidisha sana uzao wako,+ hivi kwamba hautahesabiwa kwa sababu ya wingi wake.”+ Mwanzo 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nitamfanya pia huyo mwana wa kijakazi+ kuwa taifa, kwa sababu yeye ni uzao wako.”+ Mwanzo 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+
10 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia: “Nitauzidisha sana uzao wako,+ hivi kwamba hautahesabiwa kwa sababu ya wingi wake.”+
13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+