Mwanzo 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia: “Nitauzidisha sana uzao wako,+ hivi kwamba hautahesabiwa kwa sababu ya wingi wake.”+ Mwanzo 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini kuhusu Ishmaeli nimekusikia. Tazama! nitambariki, nimfanye aongezeke na kumzidisha sana sana.+ Hakika atatokeza wakuu kumi na wawili, nami nitamfanya kuwa taifa kubwa.+ Mwanzo 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hii ndiyo historia ya Ishmaeli+ mwana wa Abrahamu ambaye Hagari Mmisri mjakazi wa Sara alimzalia Abrahamu.+
10 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia: “Nitauzidisha sana uzao wako,+ hivi kwamba hautahesabiwa kwa sababu ya wingi wake.”+
20 Lakini kuhusu Ishmaeli nimekusikia. Tazama! nitambariki, nimfanye aongezeke na kumzidisha sana sana.+ Hakika atatokeza wakuu kumi na wawili, nami nitamfanya kuwa taifa kubwa.+
12 Na hii ndiyo historia ya Ishmaeli+ mwana wa Abrahamu ambaye Hagari Mmisri mjakazi wa Sara alimzalia Abrahamu.+