Mwanzo 39:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule ofisa mkuu wa nyumba ya gereza hakuwa akiangalia kitu chochote kilichokuwa mkononi mwake, kwa sababu Yehova alikuwa pamoja na Yosefu na yale aliyokuwa akifanya Yehova aliyafanikisha.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:23 Mnara wa Mlinzi (Funzo),1/2023, uku. 16
23 Yule ofisa mkuu wa nyumba ya gereza hakuwa akiangalia kitu chochote kilichokuwa mkononi mwake, kwa sababu Yehova alikuwa pamoja na Yosefu na yale aliyokuwa akifanya Yehova aliyafanikisha.+