Mwanzo 39:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ofisa mkuu wa gereza hakujishughulisha na jambo hata moja lililokuwa chini ya usimamizi wa Yosefu, kwa maana Yehova alikuwa pamoja na Yosefu na Yehova alifanikisha jambo lolote alilofanya.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:23 Mnara wa Mlinzi (Funzo),1/2023, uku. 16
23 Ofisa mkuu wa gereza hakujishughulisha na jambo hata moja lililokuwa chini ya usimamizi wa Yosefu, kwa maana Yehova alikuwa pamoja na Yosefu na Yehova alifanikisha jambo lolote alilofanya.+