25 Anatoka* kwa Mungu wa baba yako, naye atakusaidia, naye yuko pamoja na Mweza-Yote, atakubariki kwa baraka za mbingu zilizo juu, kwa baraka za vilindi vilivyo chini,+ kwa baraka za matiti na tumbo la uzazi.
9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea wivu Yosefu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+10 akamkomboa kutoka katika dhiki zake zote, akampa kibali na hekima mbele ya Farao mfalme wa Misri. Naye Farao akamteua aongoze Misri na nyumba yake yote.+