Mwanzo 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akawauliza hao maofisa wa Farao waliokuwa naye katika jela ya nyumba ya bwana wake, akisema: “Kwa nini nyuso zenu zina huzuni leo?”+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 40:7 Mnara wa Mlinzi,2/1/2015, kur. 12-13
7 Naye akawauliza hao maofisa wa Farao waliokuwa naye katika jela ya nyumba ya bwana wake, akisema: “Kwa nini nyuso zenu zina huzuni leo?”+