Mwanzo 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu, nami nikachukua zabibu na kuziminya ndani ya kikombe cha Farao.+ Halafu nikakiweka kikombe mkononi mwa Farao.”+
11 Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu, nami nikachukua zabibu na kuziminya ndani ya kikombe cha Farao.+ Halafu nikakiweka kikombe mkononi mwa Farao.”+