Mwanzo 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, unikumbuke mara tu mambo yatakapokuendea vema,+ tafadhali, usikose kunitendea fadhili zenye upendo na kunitaja kwa Farao,+ nawe unitoe nje ya nyumba hii. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 40:14 Mnara wa Mlinzi (Funzo),4/2017, kur. 20-21
14 Hata hivyo, unikumbuke mara tu mambo yatakapokuendea vema,+ tafadhali, usikose kunitendea fadhili zenye upendo na kunitaja kwa Farao,+ nawe unitoe nje ya nyumba hii.