Mwanzo 42:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya hayo Yosefu akatoa amri, nao wakavijaza kabisa vyombo vyao nafaka. Pia, walipaswa kurudisha pesa za watu hao kwenye gunia la kila mmoja wao+ na kuwapa vyakula kwa ajili ya safari.+ Ndivyo walivyofanyiwa.
25 Baada ya hayo Yosefu akatoa amri, nao wakavijaza kabisa vyombo vyao nafaka. Pia, walipaswa kurudisha pesa za watu hao kwenye gunia la kila mmoja wao+ na kuwapa vyakula kwa ajili ya safari.+ Ndivyo walivyofanyiwa.