16 Yuda akajibu, akasema: “Tumwambie nini bwana wangu? Tuseme nini? Nasi tunaweza kuonyeshaje kuwa sisi ni waadilifu?+ Mungu wa kweli amegundua kosa la watumwa wako.+ Tazama sisi ni watumwa wa bwana wangu,+ sisi na yule ambaye mkononi mwake kikombe kilipatikana!”