Mwanzo 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndugu za Yosefu walipoona kwamba baba yao amekufa, wakaanza kusema: “Huenda ikawa Yosefu anatuwekea uadui+ naye hakika atatulipiza kwa sababu ya uovu wote ambao tumemtendea.”+
15 Ndugu za Yosefu walipoona kwamba baba yao amekufa, wakaanza kusema: “Huenda ikawa Yosefu anatuwekea uadui+ naye hakika atatulipiza kwa sababu ya uovu wote ambao tumemtendea.”+