Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.

  • Mwanzo 42:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao wakaanza kusemezana: “Bila shaka tuna hatia kuhusiana na ndugu yetu,+ kwa sababu tuliona nafsi yake ikitaabika alipotuomba kwa bidii tumwonee huruma, lakini sisi hatukusikiliza. Ndiyo sababu taabu hii imetupata.”+

  • Zaburi 105:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Akamtuma mtu mbele yao,

      Ambaye aliuzwa awe mtumwa, Yosefu.+

  • Methali 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Usiseme: “Nitamtendea kama vile tu alivyonitendea.+ Nitamlipa kila mtu kulingana na tendo lake.”+

  • Luka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Jiangalieni ninyi wenyewe. Ndugu yako akitenda dhambi mkemee,+ na akitubu msamehe.+

  • Waroma 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.

  • 1 Wakorintho 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki