Mwanzo 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ikawa kwamba, Mungu aliponihamisha kutoka katika nyumba ya baba yangu,+ ndipo nilipomwambia yeye, ‘Hizi ni fadhili zenye upendo+ unazoweza kunionyesha: Kila mahali ambako tutakwenda sema hivi kunihusu: “Yeye ni ndugu yangu.”’”+
13 Ikawa kwamba, Mungu aliponihamisha kutoka katika nyumba ya baba yangu,+ ndipo nilipomwambia yeye, ‘Hizi ni fadhili zenye upendo+ unazoweza kunionyesha: Kila mahali ambako tutakwenda sema hivi kunihusu: “Yeye ni ndugu yangu.”’”+