Mwanzo 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Abrahamu akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji akampa Hagari,+ akakiweka juu ya bega lake, na yule mtoto,+ halafu akamruhusu aende. Naye akaenda zake, akatanga-tanga katika nyika ya Beer-sheba.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:14 Mnara wa Mlinzi,7/1/1989, uku. 212/15/1988, uku. 31
14 Basi Abrahamu akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji akampa Hagari,+ akakiweka juu ya bega lake, na yule mtoto,+ halafu akamruhusu aende. Naye akaenda zake, akatanga-tanga katika nyika ya Beer-sheba.+