Mwanzo 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha akaenda mbele na kuketi chini peke yake, kama umbali wa mtupo wa upinde, kwa sababu alisema: “Acha mimi nisimwone mtoto anapokufa.”+ Kwa hiyo akaketi chini umbali fulani akaanza kupaaza sauti na kulia.+
16 Kisha akaenda mbele na kuketi chini peke yake, kama umbali wa mtupo wa upinde, kwa sababu alisema: “Acha mimi nisimwone mtoto anapokufa.”+ Kwa hiyo akaketi chini umbali fulani akaanza kupaaza sauti na kulia.+