Mwanzo 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Mungu akaisikia sauti ya huyo mvulana,+ na malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni na kumwambia:+ “Una nini, Hagari? Usiogope, kwa sababu Mungu amesikiliza sauti ya huyo mvulana pale alipo.
17 Ndipo Mungu akaisikia sauti ya huyo mvulana,+ na malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni na kumwambia:+ “Una nini, Hagari? Usiogope, kwa sababu Mungu amesikiliza sauti ya huyo mvulana pale alipo.