Mwanzo 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya hayo Abrahamu alichukua kuni za toleo la kuteketezwa akamtwika Isaka mwana wake,+ naye akachukua mikononi mwake moto na kisu cha kuchinjia, na wote wawili wakasonga mbele pamoja.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 22:6 Mnara wa Mlinzi (Funzo),1/2017, uku. 32
6 Baada ya hayo Abrahamu alichukua kuni za toleo la kuteketezwa akamtwika Isaka mwana wake,+ naye akachukua mikononi mwake moto na kisu cha kuchinjia, na wote wawili wakasonga mbele pamoja.+