2 Basi akatazama, na hapo palikuwa na kisima shambani na tazama, makundi matatu ya kondoo yalikuwa yamelala chini hapo kando yake, kwa sababu walikuwa na desturi ya kunywesha maji makundi+ katika kisima hicho; na kulikuwa na jiwe kubwa juu ya kinywa cha hicho kisima.+