Mwanzo 29:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Sasa wakati huu mume wangu atajiunga nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa jina lake Lawi.+ Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 29:34 w07 10/1 9 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 29:34 Mnara wa Mlinzi,10/1/2007, uku. 9
34 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Sasa wakati huu mume wangu atajiunga nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa jina lake Lawi.+