Mwanzo 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa. Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 29:35 w07 10/1 9 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 29:35 Mnara wa Mlinzi,10/1/2007, uku. 9
35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa.