9 Hata hivyo, itakuwa kwamba, ikiwa hawataziamini ishara hizo mbili wala kuisikiliza sauti yako,+ basi utachukua maji kutoka katika Mto Nile na kuyamwaga kwenye nchi kavu; nayo maji utakayochukua kutoka katika Mto Nile hakika yatakuwa, ndiyo, kwa kweli yatakuwa damu juu ya nchi kavu.”+