Kutoka 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mwishowe Farao akawatuma watu wawaite Musa na Haruni, naye akawaambia: “Nimetenda dhambi wakati huu.+ Yehova ni mwadilifu,+ na mimi na watu wangu tumekosea.
27 Mwishowe Farao akawatuma watu wawaite Musa na Haruni, naye akawaambia: “Nimetenda dhambi wakati huu.+ Yehova ni mwadilifu,+ na mimi na watu wangu tumekosea.