Kutoka 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo Musa na Haruni wakarudishwa kwa Farao, naye akawaambia: “Nendeni, mkamtumikie Yehova Mungu wenu.+ Ni nani hasa wanaoenda?”
8 Kwa hiyo Musa na Haruni wakarudishwa kwa Farao, naye akawaambia: “Nendeni, mkamtumikie Yehova Mungu wenu.+ Ni nani hasa wanaoenda?”