Kutoka 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo akamwita+ Musa na Haruni mara moja wakati wa usiku na kusema: “Simameni, tokeni kati ya watu wangu, ninyi na wale wana wengine wa Israeli, na mwende, mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+
31 Ndipo akamwita+ Musa na Haruni mara moja wakati wa usiku na kusema: “Simameni, tokeni kati ya watu wangu, ninyi na wale wana wengine wa Israeli, na mwende, mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+