Kutoka 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mara moja Musa akatoka kwenda kumpokea baba-mkwe wake, naye akajilaza kifudifudi mbele yake na kumbusu;+ na kila mmoja wao akaanza kuuliza jinsi yule mwingine alivyokuwa akiendelea. Kisha wakaingia hemani.
7 Mara moja Musa akatoka kwenda kumpokea baba-mkwe wake, naye akajilaza kifudifudi mbele yake na kumbusu;+ na kila mmoja wao akaanza kuuliza jinsi yule mwingine alivyokuwa akiendelea. Kisha wakaingia hemani.