Kutoka 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mkono wowote usimguse, kwa maana lazima atapigwa kwa mawe au kwa mshale. Iwe ni mnyama au mwanadamu, hataishi.’+ Pembe ya kondoo+ itakapopigwa wao wenyewe wanaweza kuja mpaka kwenye mlima.”
13 Mkono wowote usimguse, kwa maana lazima atapigwa kwa mawe au kwa mshale. Iwe ni mnyama au mwanadamu, hataishi.’+ Pembe ya kondoo+ itakapopigwa wao wenyewe wanaweza kuja mpaka kwenye mlima.”