Kutoka 29:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Nawe utachukua kidari cha yule kondoo-dume wa kuweka rasmi,+ aliye wa Haruni, na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova, nacho kitakuwa fungu lako.
26 “Nawe utachukua kidari cha yule kondoo-dume wa kuweka rasmi,+ aliye wa Haruni, na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova, nacho kitakuwa fungu lako.