Kutoka 38:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 38:8 Mnara wa Mlinzi,4/1/2015, uku. 15
8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+