Mambo ya Walawi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Na ikiwa utamtolea Yehova toleo la nafaka la matunda ya kwanza yaliyoiva, utatoa masuke mabichi yaliyookwa kwa moto, chenga-chenga za nafaka mpya, kuwa toleo la matunda yako ya kwanza yaliyoiva.+
14 “‘Na ikiwa utamtolea Yehova toleo la nafaka la matunda ya kwanza yaliyoiva, utatoa masuke mabichi yaliyookwa kwa moto, chenga-chenga za nafaka mpya, kuwa toleo la matunda yako ya kwanza yaliyoiva.+