Mambo ya Walawi 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Au ikiwa anagusa uchafu wa mwanadamu kuhusiana na uchafu+ wowote wake ambao huenda ukamfanya asiwe safi, ingawa ulikuwa umefichwa machoni pake, na hata hivyo yeye mwenyewe amepata kujua, basi amekuwa na hatia.
3 Au ikiwa anagusa uchafu wa mwanadamu kuhusiana na uchafu+ wowote wake ambao huenda ukamfanya asiwe safi, ingawa ulikuwa umefichwa machoni pake, na hata hivyo yeye mwenyewe amepata kujua, basi amekuwa na hatia.