Mambo ya Walawi 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Hii ndiyo sheria inayohusu toleo la kuteketezwa,+ toleo la nafaka+ na toleo la dhambi+ na toleo la hatia+ na dhabihu ya kuweka rasmi+ na dhabihu ya ushirika,+
37 Hii ndiyo sheria inayohusu toleo la kuteketezwa,+ toleo la nafaka+ na toleo la dhambi+ na toleo la hatia+ na dhabihu ya kuweka rasmi+ na dhabihu ya ushirika,+