Mambo ya Walawi 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Musa akavichukua kutoka mikononi mwao na kuvifukiza kwenye madhabahu juu ya lile toleo la kuteketezwa.+ Hivyo vilikuwa dhabihu ya kuweka rasmi+ kwa ajili ya harufu ya kutuliza.+ Lilikuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+
28 Kisha Musa akavichukua kutoka mikononi mwao na kuvifukiza kwenye madhabahu juu ya lile toleo la kuteketezwa.+ Hivyo vilikuwa dhabihu ya kuweka rasmi+ kwa ajili ya harufu ya kutuliza.+ Lilikuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+