6 Kisha zitakapotimia siku za utakaso wake kwa ajili ya mwana au binti ataleta mwana-kondoo dume katika mwaka wake wa kwanza kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ na hua mchanga au njiwa-tetere+ kwa ajili ya toleo la dhambi kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa kuhani.