-
Mambo ya Walawi 13:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 ndipo kuhani atalitazama; na ikiwa nywele zimegeuka na kuwa nyeupe katika doa hilo nalo linaonekana kuwa limepenya chini ya ngozi, ni ukoma. Umetokea katika kovu hilo, naye kuhani atamtangaza kuwa asiye safi. Ni pigo la ukoma.
-