-
Mambo ya Walawi 13:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Lakini doa hilo likibaki mahali pake, halijaenea katika ngozi nalo limefifia, ni upele wa kovu; naye kuhani atamtangaza kuwa safi, kwa sababu ni kovu lenye kuwasha.
-