Mambo ya Walawi 13:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Atakapokuwa ameliona pigo hilo katika siku ya saba, ya kwamba pigo hilo limeenea katika vazi au katika mtande au katika mshindio+ au katika ngozi ambayo inaweza kutumiwa kwa ajili ya matumizi yoyote, pigo hilo ni ukoma hatari.+ Si safi.
51 Atakapokuwa ameliona pigo hilo katika siku ya saba, ya kwamba pigo hilo limeenea katika vazi au katika mtande au katika mshindio+ au katika ngozi ambayo inaweza kutumiwa kwa ajili ya matumizi yoyote, pigo hilo ni ukoma hatari.+ Si safi.