Mambo ya Walawi 13:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Atakapolichunguza siku ya saba na kuona kwamba ugonjwa huo umeenea ndani ya vazi, ndani ya mtande, ndani ya mshindio, au ndani ya ngozi (haidhuru ngozi hiyo inatumiwa kwa kusudi gani), huo ni ukoma hatari, vazi hilo si safi.+
51 Atakapolichunguza siku ya saba na kuona kwamba ugonjwa huo umeenea ndani ya vazi, ndani ya mtande, ndani ya mshindio, au ndani ya ngozi (haidhuru ngozi hiyo inatumiwa kwa kusudi gani), huo ni ukoma hatari, vazi hilo si safi.+